RSS

Konde, Zanzibar

It’s been an exhilarating few days. You just spent four days on safari in Tarangire National Park, one of Africa’s most underrated parks. Your guide drove you over hills and around baob…

Source: Konde, Zanzibar

 
Leave a comment

Posted by on February 14, 2017 in Uncategorized

 

HP Confirms Pricing Lineup for Elite x3, Starting at $799 in US

HP Confirms Pricing Lineup for Elite x3, Starting at $799 in US

Matridox

Back in February at MWC 2016, HP unveiled to the world the Elite x3 smartphone with a 6-inch WQHD display, Snapdragon 820 processor, 4GB of RAM, a hefty 4150mAh battery, and Windows 10. However, we had no clue how much this beauty would cost. Guesses flew everywhere from $500 to around $700. However, HP has officially confirmed in product listings for the smartphone just how much this handset will run you.

hp-elite-x3-us-pricingIn the US, you’ll be paying a pretty hefty $799. While that may seem like a lot, as Neowin notes, that’s still less than an iPhone 6s Plus with the same storage configuration.

hp-elite-x3-french-pricingIn France, €699.00 is what you’ll pay, while €838.80 is the price including applicable taxes.

In Spain, €699.00 will be the price tag while €845.79 will be the final cost after taxes. There’s also a dual-SIM variant in Spain which costs €882.09.

Finally in the UK (according to a third-party…

View original post 112 more words

Advertisement
 
Leave a comment

Posted by on July 16, 2016 in Uncategorized

 

Maalim awapongeza Tanzania Muslim Community kwa kuftarisha

Zanzibar Yetu

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad awashukuru na kuwapongeza waTanzania Muslim Community kwa juhudi zao za kuftarisha kila wiki ifikapo mwezi mtukufu wa Ramadhani. Maalim alihudhuria iftar hiyo Siku ya Jumamosi June 11, 2016 Washington DC wakati akiwa katika ziara yake ya siku 14 Nchini Marekani na Canada.

View original post

 
Leave a comment

Posted by on June 12, 2016 in Uncategorized

 

Home

Rasahi Farms in Zanzibar

Source: Home

 
Leave a comment

Posted by on March 16, 2016 in Uncategorized

 

Kimebarikiwa ukilacho kwa jasho lako

Kimebarikiwa ukilacho kwa jasho lako
 
Leave a comment

Posted by on January 21, 2016 in Uncategorized

 

Taasisi za Kiislamu zaingiwa na khofu Zanzibar

Zanzibar Yetu

Katibu Mtendaji wa JUMAZA, Sheikh Muhiddin Zubeir Muhiddin na Mwenyekiti wa Taasisi za Kiislamu Zanzibar, Sheikh Ali Abdallah Shamte Katibu Mtendaji wa JUMAZA, Sheikh Muhiddin Zubeir Muhiddin na Mwenyekiti wa Taasisi za Kiislamu Zanzibar, Sheikh Ali Abdallah Shamte

JUMAZA na Taasisi za Kiislam Zanzibar zina khofu kubwa juu ya kurejewa kwa Uchaguzi, uzoefu unaonesha kuwa nchi zilizorejea uchaguzi katika Bara la Afrika kama vile Nigeria, Zimbwabwe, Malawi na kwengineko hatimaye zilitumbikia katika machafuko makubwa. Kama hilo halitoshi Zanzibar tuna historia mbaya ya kurejea Uchaguzi. Wengi tunakumbuka katika historia ya Zanzibar kile kinachoitwa ‘vita au machafuko ya Juni ‘. Uchaguzi wa Januari mwaka 1961 ulilazimika kurejewa mwezi wa Juni 1961, ambapo ulipelekea machafuko makubwa ikiwemo vifo vya watu 68, maelfu kujeruhiwa, nyumba kuvunjwa na kuchomwa moto. Kwa historia hii JUMAZA na Taasisi za Kiislam Zanzibar hazioni kuwa ni busara kurejewa kwa Uchaguzi uliofanyika kwa ufanisi na kukamilika. Penye nia njema na utashi wa kisiasa basi njia ya uadilifu iliyo wazi ya kutukwamua hapa tulipo ni kwa Viongozi wakuu wa kisiasa…

View original post 1,189 more words

 
Leave a comment

Posted by on January 6, 2016 in Uncategorized

 

Wazanzibari wametulia, wanasiasa wasiwachanganye

Zanzibar Yetu

Vijana wa Zanzibar wakionsha furaha baada ya kutangazwa majimbo ya Tume ya Uchaguzi wa Octoba 25 mwaka huu Vijana wa Zanzibar wakionsha furaha baada ya kutangazwa majimbo ya Tume ya Uchaguzi wa Octoba 25 mwaka huu

Kwa ufupi

Taarifa zilisema kikao hicho kiliongozwa na makamu mwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na viongozi wengine wa Serikali.

View original post 473 more words

 
Leave a comment

Posted by on December 30, 2015 in Uncategorized

 

Watadanganya tu ili kung’ang’ania madaraka

Zanzibar Yetu

Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akiongea na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai. Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akiongea na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai.

Na Enzi T. Aboud

NDANI ya uzio wa siasa za kinafiki, chuki na laghai zinazotesa viongozi wa CCM Zanzibar kila unapofanyika uchaguzi, lengo hasa ni kung’ang’ania madaraka. Wataficha ukweli kwa vyovyote wanapoona maslahi binafsi yanaingia katika mtihani. Watadanganya tu bila aibu.

View original post 962 more words

 
Leave a comment

Posted by on December 19, 2015 in Uncategorized

 

Tamko la Jumuyia ya Maimamu Zanzibar

Zanzibar Yetu

Katibu Mtendaji - JUMAZA Zanzibar, Muhiddin Zubeir Muhiddin Katibu Mtendaji – JUMAZA Zanzibar, Muhiddin Zubeir Muhiddin

Baada ya tukio hili kikundi chetu kilitoa taarifa yake ya awali mapema iwezekanavyo ambapo pamoja na kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza kikundi chetu kiliona kuwa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika tarehe 25-10-2015 ulikuwa wa uwazi, uhuru, amani, haki na uadilifu na kukidhi viwango vya kimataifa vya uchaguzi bora.

View original post 635 more words

 
Leave a comment

Posted by on November 21, 2015 in Uncategorized

 

Pinda kapinda lakini Pandu kapindua

Pinda kapinda lakini Pandu kapindua.

 
Leave a comment

Posted by on March 17, 2015 in Uncategorized